Breaking

PAKUA MCHAINA APP HAPA CHINI USOME HABARI ZETU HATA USIPOKUWA NA MB

Monday, April 24, 2017

ANGALIA HAPA MESSI ALIVYOWAMALIZA REAL MADRID

Messi was booked for removing his shirt and showing it to the Real Madrid fans after his brilliant match-winner on Sunday

Lionel Messi akiwa amebebwa na Jordi Alba baada ya kuifungia bao la ushindi Barcelona dakika ya 90 na ushei wakiwalaza 3-2 wenyeji, Real Madrid usiku huu Uwanja wa Santiago Bernabeu, Madrid katika mchezo wa La Liga. Messi amefunga mabao mawili leo, lingine dakika ya 33 huku bao lingine la Barca likifungwa na Ivan Rakitic dakika ya 73 na ya Real Madrid yamefungwa na Carlos Henrique Casemiro dakika ya 28 na James Rodriguez dakika ya 85. Real Madrid ilimaliza pungufu mechi hiyo baada ya beki wake, Sergio Ramos kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 77 kwa kumchezea rafu MessiCasemiro's opener. 
Lionel Messi scored last-minute winner to breathe fresh life into Barcelona's La Liga title challenge at the home of Real Madrid
Jordi Alba's pull-back from the left was stroked with aplomb into the bottom corner by Messi in the dying seconds of the game
It looked like substitute James Rodriguez had come on to rescue a point for Zinedine Zidane's side with five minutes to go
Ivan Rakitic scored to give Barcelona a 2-1 lead in the second half long before the late drama unfolded in the Spanish capital
Messi is now the all-time top-scorer in El Clasico in La Liga (16), surpassing Alfredo Di Stefano (14) after his first strike
Casemiro celebrates his strike which was richly deserved after it was Madrid who made the brighter start to proceedings
Sergio Ramos received the 22nd red card of his Real Madrid career and his fifth in El Clasicos after a poor challenge on Messi
Barcelona midfielder Andres Iniesta posted this picture of the jubilant team on his Twitter following their thrilling victory 

No comments:

Post a Comment