Breaking

PAKUA MCHAINA APP HAPA CHINI USOME HABARI ZETU HATA USIPOKUWA NA MB

Tuesday, May 9, 2017

CHELSEA YAISHUSHA DARAJA BORO YENYEWE IKIUKARIBIA UBINGWA


Diego Costa akimtungua kipa wa Middlesbrough, Brad Guzan kutoka umbali wa mita sita kuifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya 23 Uwanja wa Stamford Bridge, London katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana. Chelsea ilishinda 3-0 mabao yake mengine yakifungwa na Marcos Alonso dakika ya 34 na Nemanja Matic dakika ya 64 matokeo ambayo yanaishuka daraja rasmi Boro huku Te Blues ikizidi kuukaribia ubingwa PICHA ZAIDI GONGA HAPA 

No comments:

Post a Comment