Breaking

PAKUA MCHAINA APP HAPA CHINI USOME HABARI ZETU HATA USIPOKUWA NA MB

Saturday, May 6, 2017

MAJINA YA WANAFUNZI WA SHULE YA ST LUCK VICENT YA ARUSHA WALIOFARIKI YATAJWA


 Majina ya wanafunzi 29 wa Shule Lucky Vicent ya jijini Arusha waliokuwa katika ziara ya kimafunzo kuelekea Ngorongoro wakitumia basi aina ya Toyota Coaster walipata ajali asubuhi ya leo na kusababisha ya vifo vya wanafunzi na walimu zaidi ya 30 papo hapo.

Aidha taarifa za awali kutoka Hospital ya Lutheran Karatu zinaarifu kuwa miili iliyopokelewa hapo hospitali ni 32 miongoni mwao ni waalimu 2 dereva 1 pamoja na wanafunzi 29 ambapo wanafunzi wa kiume 11 na wasichana 18.

 Wasamaria wakisaidia kutoa miili ya wanafunzi hao katika gar

No comments:

Post a Comment