Breaking

PAKUA MCHAINA APP HAPA CHINI USOME HABARI ZETU HATA USIPOKUWA NA MB

Thursday, May 4, 2017

MTANDAO WA WHATSAPP WAPOTEA HEWANI DUNIA NZIMA


Inawezekana wewe ukawa ni mmoja kati ya watu ambao wameshangazwa na kuona simu zao usiku huu ukituma ujumbe wa Whatsapp hauendi na kuanza kujiuliza kama shinda ni salio, simu au tatizo la kiufundi.

Taarifa ikufikie kuwa tatizo hilo limetokea na kwa mujibu wa msemaji wa mtandao huyo ” baadhi ya watu wamepata tatizo la kushindwa kupata huduma ya whatsapp kwa leo, tunaomba radhi kwa usumbufu na tunashughulikia kuhakikisha huduma hiyo inarejea mapema”
SOURCE: express.co.uk

No comments:

Post a Comment