Breaking

PAKUA MCHAINA APP HAPA CHINI USOME HABARI ZETU HATA USIPOKUWA NA MB

Saturday, February 11, 2017

MKUU WA MKOA WA IRINGA AINGIA DARASANI KUFUNDISHA SOMA HAPA NA SHARE KWA RAFIKI

MKUU WA MKOA IRINGA AINGIA DARASANI KUFUNDISHA
Mkuu wa mkoa wa Iringa mwalimu Amina Masenza akifundi somo la Uraia kwa wanafunzi wa kidato cha tano shule ya sekondari Sadani wilaya ya Mufindi leo baada ya kufanya ziara shuleni hapo
Mkuu wa mkoa wa Iringa Mwalimu Amina Masenza akifundisha somo la urai

Mkuu wa mkoa wa Iringa mwalimu Amina Masenza akipokelewa shule ya sekondari Sadani

Mkuu wa wilaya ya Mufindi Wiliam Jamhuri akimkaribisha mkuu wa mkoa wa Iringa

Watalam wa mkoa wa Iringa

Walimu na viongozi wa wilaya ya Mufindi

Watumishi wakimsikiliza mkuu wa mkoa

Mkuu wa shule ya sekondari Sadani Mufindi Yusuph Mwagala

Mkuu wa shule ya sekondari Sadani Mufindi Yusuph Mwagala akipongezwa na mkuu wa mkoa wa Iringa Mwalimu Amina Masenza

Mkuu wa mkoa wa Iringa mwalimu Amina Masenza na mkuu wa wilaya ya Mufindi Wiliam Jamhuri wakifungua daharia ya wasichana shule ya sekondari Sadani

Rc akikagua daharia hiyo

Bwalo la chakula Sadani Sekondari ambalo linahitaji wadau kuchangia ili kukamilika

Rc Mwalimu Masenza akitoka kukagua bwalo hilo

Mwanafunzi wa kidato cha sitta Sadani sekondari Sagendo Fadhili akijibu maswali ya mkuu wa mkoa wa Iringa Mwalimu Amina Masenza

Mkuu wa mkoa wa Iringa Mwalimu Amina Masenza akiendelea kufundisha wanafunzi wa kidato cha nne shule ya sekondari sadani

Mkuu wa mkoa wa Iringa mwalimu Amina Masenza akiwa na mkuu wa shule ya Sadani katikati na mkuu wa wilaya ya Mufindi Bw Wiliam Jamhuri kushoto

Walimu wa Sadani Sekondari wakifurahia ziara ya mkuu wa mkoa shuleni hapo na kuomba kusaidiwa kusogezewa umeme wa Rea shuleni hapo

Mwalimu Masenza mkuu wa mkoa wa Iringa akiteta na walimu wenzake wa shule ya sekondari Sadani Mufindi

Mkuu wa mkoa wa Iringa Mwalimu Amina Masenza (wa nne kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na walimu wa shule ya sekondari Sadan

No comments:

Post a Comment