Breaking

PAKUA MCHAINA APP HAPA CHINI USOME HABARI ZETU HATA USIPOKUWA NA MB

Saturday, May 6, 2017

AJALI MBAYA YATOKEA MKOANI ARUSHA WANAFUNZI ZAIDI YA 20 WAPOTEZA MAISHA

Image may contain: one or more people and outdoorBasi aina ya Coster Limepata Ajali maeneo ya Karatu na kuua zaidi ya wanafunzi 20 wa St Lucky ya Mjini Arusha....lilikua na wanafunzi 25 na walimu5...
Waliopona ni wanafunzi 4 pekee na wapo mahututiCoaster ina jumla ya abiria 30 na wote wanasadikiwa wamefariki,maiti zimepelekwa hospitalini na watu wameondoka eneo la tukio,mvua inanyesha. wanafunzi hao walikuwa wakienda ziara ya kimasomo shule jirani. kamanda wa polisi mkoa wa Arusha atatoa taarifa kamili baadae
[​IMG]

No comments:

Post a Comment